Skip to main content

News

MIF YAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU TANO YA UOKAJI KWA WANAWAKE NA VIJANA

Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) imehitimisha kwa mafanikio mafunzo ya siku tano ya uokaji yaliyolenga kuwawezesha wanawake na vijana kupata ujuzi wa vitendo utakaowasaidia kujiajiri, kuongeza kipato na kuchangia maendeleo ya kiuchumi ya jamii.

Kampeni ya Elimu ya Nishati Safi ya Kupikia na Uhifadhi wa Mazingira Yaibua Mwanga Mpya kwa Jamii ya Muungoni

MIF kwa kushirikiana na Pamoja Youth Initiatives imeendesha kampeni ya elimu kuhusu nishati safi ya kupikia na uhifadhi wa mazingira katika Shehia ya Muungoni, kwa lengo la kuhamasisha jamii kuachana na matumizi ya kuni na mkaa na kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi ambayo ni salama kwa afya, rafiki kwa mazingira na yenye mchango mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi.

MIF na CONAMET Zatia Saini Mkataba wa Ushirikiano Kuimarisha Huduma za Afya na Maendeleo

MIF na CONAMET zimesaini Hati ya Makubaliano (MOU) ya kushirikiana katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo, kwa kuzingatia zaidi sekta ya afya.

kuadhimisha Siku ya Hedhi Duniani

Katika kuadhimisha Siku ya Hedhi Duniani, Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) iligawa Taulo za Kike 500 kwa Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Siti Abasi Ali na 500 nyengine alikabidhiwa Afisa Elimu Wilaya ya Magharibi B, kwa wanafunzi wa kike katika shule za wilaya ya Magharibi. Jumla ya Taulo zote ni 1000

International Baking & Entrepreneurship Workshop

Mwanamke Initiatives Foundation, in collaboration with international bakery professionals, proudly announces the International Baking & Entrepreneurship Training Workshop aimed at empowering women and youth through practical baking skills and entrepreneurship education.

Empowering Shehas with Mental Health Knowledge for Stronger Communities

Today we continued with Mental Health

From Local Action to Global Impact: Women’s Empowerment at Work

Our organization, Mwanamke Initiatives Foundation (MIF), had the honour of welcoming visitors from the Unit

A Strategic Partnership Advancing Women’s Economic Empowerment in Zanzibar

Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) has officially signed a Memorandum of Understanding with Nailah’s She

FOURTH BOARD MEETING OF MIF

The 4th Board Meeting of MIF convened to deliberate, review, and approve the Financial Report on Revenue an

CELEBRATING ACADEMIC EXCELLENCE: MIF APPLAUDS FORM FOUR SUCCESS

Mwanamke Initiative Foundation (MIF) has warmly congratulated the students of Hasnuu Makame Secondary Schoo

CONTINUATION OF THE SAFE COOKING PROJECT AT MTULE SECONDARY SCHOOL

On 10/2/2026, Mwanamke Initiative Foundation (MIF), through its project Safe Cooking for the Health of the